NATAMANI MENGI SANA KATIKA UTUMISHI WANGU NATAMANI TUOMBE PAMOJA ILI MUNGU WETU ANIINUE NIMTUMIKIE KATIKA MAISHA YANGU YOTE MOYO WANGU UNAWIVU NA ULIMWENGU WOTE ILI UOKOLEWE KABISA NAKUPA MZIGO WEWE KUNIOMBEA POPOTE ULIPO ILI NITENDE SAWA SAWA NA MAPENZI YA MUNGU UBARIKIWE
MUHUBIRI 3:1-14 ANASEMA
Wakati Kwa Ajili Ya Kila Jambo Kuna wakati kwa ajili ya kila jambo,
nayo majira kwa kila tendo chini ya mbingu:
2 Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa,
wakati wa kupanda na wakati wa kung'oa
yaliyopandwa,
3 wakati wa kuua na wakati wa kuponya,
wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga,
4 wakati wa kulia na wakati wa kucheka,
wakati wa kuomboleza na wakati wa
kucheza,
5 wakati wa kutawanya mawe na wakati wa
kukusanya mawe,
wakati wa kukumbatia na wakati wa
kutokukumbatia,
6 wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza,
wakati wa kuweka na wakati wa kutupa,
7 wakati wa kurarua na wakati wa kushona,
wakati wa kunyamaza na wakati wa
kuzungumza,
8 wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia,
wakati wa vita na wakati wa amani.
9Mfanyakazi anapata faida gani kutokana na taabu yake? 10Nimeona mzigo Mungu alioweka juu ya wanadamu. 11Amefanya kila kitu kiwe kizuri kwa wakati wake. Pia ameiweka hiyo milele katika mioyo ya wanadamu, wala hawawezi kutambua yale ambayo Mungu amefanya tangu mwanzo hadi mwisho. 12Ninajua kwamba hakuna kitu bora kwa wanadamu kuliko kuwa na furaha na kutenda mema wakati wanapoishi. 13Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote. 14Ninajua kwamba kila kitu anachokifanya Mungu kitadumu milele, hakuna kinachoweza
MUHUBIRI 3:1-14 ANASEMA
Wakati Kwa Ajili Ya Kila Jambo Kuna wakati kwa ajili ya kila jambo,
nayo majira kwa kila tendo chini ya mbingu:
2 Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa,
wakati wa kupanda na wakati wa kung'oa
yaliyopandwa,
3 wakati wa kuua na wakati wa kuponya,
wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga,
4 wakati wa kulia na wakati wa kucheka,
wakati wa kuomboleza na wakati wa
kucheza,
5 wakati wa kutawanya mawe na wakati wa
kukusanya mawe,
wakati wa kukumbatia na wakati wa
kutokukumbatia,
6 wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza,
wakati wa kuweka na wakati wa kutupa,
7 wakati wa kurarua na wakati wa kushona,
wakati wa kunyamaza na wakati wa
kuzungumza,
8 wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia,
wakati wa vita na wakati wa amani.
9Mfanyakazi anapata faida gani kutokana na taabu yake? 10Nimeona mzigo Mungu alioweka juu ya wanadamu. 11Amefanya kila kitu kiwe kizuri kwa wakati wake. Pia ameiweka hiyo milele katika mioyo ya wanadamu, wala hawawezi kutambua yale ambayo Mungu amefanya tangu mwanzo hadi mwisho. 12Ninajua kwamba hakuna kitu bora kwa wanadamu kuliko kuwa na furaha na kutenda mema wakati wanapoishi. 13Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote. 14Ninajua kwamba kila kitu anachokifanya Mungu kitadumu milele, hakuna kinachoweza
No comments:
Post a Comment
YOUR WORMY WELCOME TO SAY ANYTHING TO ME IN MY WEBSITE