Kisha watoto wadogo wakaletwa kwa
Yesu ili aweke mikono yake juu yao na
awaombee. Lakini wanafunzi wake
wakawakemea wale waliowaleta.
14
Yesu akasema, “Waacheni watoto
wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa
maana Ufalme wa Mbinguni ni wa wale walio
kama hawa.
15
Naye akaweka mikono yake juu
yao, akaondoka huko.
No comments:
Post a Comment
YOUR WORMY WELCOME TO SAY ANYTHING TO ME IN MY WEBSITE