GOD HAS BEEN GOOD TO OUR FAMILY "IN GOD WE TRUST" WE DO HOPE ALSO GOD HAS BEEN GOOD TO YOU TOO. HENCE PRAISE HIM GLORIFY HIS NAME AND ALSO WHILE READING SOME CONTENT IN THIS WEBSITE GOD IS GOING TO BLESS YOU IN ALL ASPECT. "AND ALSO I NEED MUCH YOU COMMENTS FOR ANY WEAKNESS AND ALSO SOME STRENGTHS FOR ME TO WORK UPON YOUR WARMLY WELCOME."
MUOGOPE MUNGU AWEZAYE KULEFUSHA SIKU ZAKO MWABUDU YEYE TU
WELCOME
Friday, August 2, 2013
Shukrani Zetu
Mathayo 18:1Wakati huo, wanafunzi wakamjia Yesu
na kumwuliza “Je, nani aliye mkuu
kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni?”
2
Yesu akamwita mtoto mdogo na
kumsimamisha katikati yao.
3
Naye akasema:
‘‘Amin, nawaambia, msipoongoka na kuwa
kama watoto wadogo, kamwe hamtaingia katika
Ufalme wa Mbinguni. 4
Kwa hiyo mtu yeyote
ajinyenyekezaye kama huyu mtoto, ndiye aliye
mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni.
5
“Ye yote amkaribishaye mtoto mdogo
kama huyu kwa jina langu, anikaribisha mimi.
Related Posts
RELATED POSTS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
YOUR WORMY WELCOME TO SAY ANYTHING TO ME IN MY WEBSITE