MUOGOPE MUNGU AWEZAYE KULEFUSHA SIKU ZAKO MWABUDU YEYE TU

WELCOME

WELCOME TO MY WEBSITE AND LETS SHARE WHAT YOU HAVE BY CLICKING COMMENTS TO ANY INTERESTED ARTICLES AND LEAVE YOUR COMMENTS THERE STAY BLESSED

Friday, August 2, 2013

Huo Mwendelezo wa furaha kama unavyojua

 Tarehe hii 26/05/2013 kwetu ilitukumbusha kama familia kwani pia ilikuwa ni Mhimu saana kwani ndo ilikuwa siku ya kutimiza mwaka mzima toka tufunge ndoa Yetu takatifu kwani furaha kwetu iliongezeka maradufu ukizingatia pia ndo siku tuliyomshkru Mungu kwa Ubarikio wa mtoto wetu hivyo ilikuwa Shangwe na Furaha ya kutosha Ashukuriwe Mungu afanyaye Makubwa kwa Watu wake.
Posted by Picasa

No comments:

Post a Comment

YOUR WORMY WELCOME TO SAY ANYTHING TO ME IN MY WEBSITE