MUOGOPE MUNGU AWEZAYE KULEFUSHA SIKU ZAKO MWABUDU YEYE TU

WELCOME

WELCOME TO MY WEBSITE AND LETS SHARE WHAT YOU HAVE BY CLICKING COMMENTS TO ANY INTERESTED ARTICLES AND LEAVE YOUR COMMENTS THERE STAY BLESSED

Friday, August 2, 2013

Shukrani Zetu


 Mathayo 18:1Wakati huo, wanafunzi wakamjia Yesu
na kumwuliza “Je, nani aliye mkuu
kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni?”
2
Yesu akamwita mtoto mdogo na
kumsimamisha katikati yao.
3
Naye akasema:
‘‘Amin, nawaambia, msipoongoka na kuwa
kama watoto wadogo, kamwe hamtaingia katika
Ufalme wa Mbinguni. 4
Kwa hiyo mtu yeyote
ajinyenyekezaye kama huyu mtoto, ndiye aliye
mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni.
5
“Ye yote amkaribishaye mtoto mdogo
kama huyu kwa jina langu, anikaribisha mimi.
Posted by Picasa

No comments:

Post a Comment

YOUR WORMY WELCOME TO SAY ANYTHING TO ME IN MY WEBSITE